General
- Name
- Mtibwa Sugar FC
- Region
- Morogoro
About3
Historia fupi ya Mtibwa
17 years ago
Mtibwa Sugar Sports Club inayopatikana katika wilaya ya Mvomero takribani kilomota mia moja (100) kutoka Morogoro mjini ilianzishwa na wafanyakazi wa kiwanda cha sukari cha Mtibwa. Madhumuni ya awali ilikuwa kushiriki ligi katika ngazi ya wilaya na kutoa burudani kwa wafanyakazi.
Mnamo mwaka 1989 timu ya mpira wa miguu ya mtibwa Sugar ilianza kushiriki ligi daraja la nne (4th division league) na kupanda ngazi kwa ngazi hadi daraja la kwanza mnamo mwaka 1996. Mashindano ya ligi daraja la kwanza yaliyobadilishwa jina na kuwa ligi kuu mwaka 1998.
Kikosi cha mtibwa sugar kwa hivi sasa kinanolewa na mpashamisuli maarufu nchini, kocha mwenye jina kubwa katika medani ya mpira katika ukanda wa Afrika mashariki na kati Abdallah kibadeni “King Mputa” akisaidiwa na Patrick Mwangata
Mtibwa Club History
17 years ago
Mtibwa Sugar Sports Club which is located in Mvomero district about 100 kms from Morogoro region, was formed in 1988 by a group of workers of Mtibwa Sugar Estates Ltd who decided to form a football team which will take part in league competitions in district level. The team started playing in 4th division league in 1989 and steadily climbed up the ladder of success which saw the team finally getting a promotion to first division league in 1996. The league was restructured in 1998 and became Premier League Division.
Mtibwa Sugar which is currently coached by former national team player and coach, the legendary Abdallah Kibaden ‘King’, reigns second in the ongoing premier league with 23 points, one point behind the leaders Tanzania Prisons FC.
Kikosi cha Mtibwa Sugar FC - 2007
17 years ago
GK Mengi Matunda
DF Dickson Daudi
DF Issa Kassim
DF Geoffrey Magori
DF Mecky Maxime
DF Ibrahim Mwaipopo
DF Salum Swedi
MF Shaban Nditi
MF Nizar Khalfan
FW Abdallah Juma
FW Kudra Omari
FW Monja Liseki
FW Omari Matuta
Contacts
- P.O. Box 42
- Mtibwa
- http://mtibwasugar.com/en/index.html
- 232620019