Sekretarieti ya CCM ikiongozwa na katibu mkuu wa CCM Ndugu Abdurahman Kinana iko mkoani Kigoma kwa ajili ya kuangalia utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi na sherehe za miaka 36 ya chama hicho zinazotarajiwa kufanyika Februari 3 kwenye uwanja wa Lake Tanganyika mkoani humo, kulia ni Bi Fatma mmiliki wa na kushoto ni Khamis Bitese Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kigoma Vijijini.
January 30, 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment