Mzungu Kichaa aka Espen Sørensen is a Danish singer and musician. He was born in Denmark, but grew up in Tanzania, where his parents worked in the field of Development Cooperation. They went there when he was six years old. In Tanzania he learned to speak Swahili fluently and later on he got involved in music and particularly in the production of Bongo Flava at Bongo Records. The latest outcome of his interest in East African music is his first solo album "Tuko Pamoja".
Home
Unlabelled
mambo ya mzungu kichaa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
mziki mzuri sana, kazi nzuri pia.
ReplyDeleteThanks a lot mzungu kichaa kwa kuitangaza lugha yetu ya kiswahili na Tanzania kwa ujumla
ReplyDeleteMuziki wa kiTanzania utaimarika tena kama wanamuziki wataanza tena kupiga muziki kwa kutumia vyombo kama magitaa, piano, sax, ngoma n.k huu mtindo wa kuingia studio na kurekodi nyimbo kwa kutumia synthesizer umetuharibia sana muziki wetu, sidhani kama kuna watu wengi wamebaki ambao wana uwezo wa kunyanyua chombo cha muziki na kukipiga sawasawa...
ReplyDelete