Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam (kulia) akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Mikutano wa TBL Ilala jijini Dar es Salaam leo wakati wa kutangaza tuzo za wanafunzi wa elimu ya juu zijulikanazo kama “Excel with Grand Malt”, zinazota katika Chuo mbali mbali hapa nchini ikiwa ni mwaka wa tatu mfululizo.Uzinduzi wa Tuzo hizo utaanza rasmi leo siku ya jumamosi April 20,kwenye viwanja vya Chuo kikuu Ardhi,jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Dorice Malulu.
Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Dorice Malulu akielezea namna Tuzo hizo zitakavyokuwa zikitolewa pamoja na kuelezea mpango wao wa kutimiza mpango wa Serikali wa kutunza Mazingira kwa Kupanda miti katika vyuo vyote.Kulia Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...