BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE,MH. ADAD RAJAB (KULIA) AKIGONGANISHA GLASS ZA VINYWAJI NA WATANZANIA WAISHIO NCHINI ZIMBABWE KUASHIRIA SHEREHE YA MWAKA MPYA WA 2013 ZILIZOFANYIKA NCHINI HUMO JANA
NA KUHUDHURIWA NA WATANZANIA PAMOJA NA MAOFISA MBALIMBALI WA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE.
WATANZANIA MBALIMBALI WAKIWA KATIKA SHEREHE HIYO.
WADAU WA EDMARK-TANZANIA WALISHIRIKI SHEREHE ZA MWAKA MPYA NA KUWASILISHA MADA KUHUSU CHAKULA LISHE NCHINI ZIMBABWE.
WATANZANIA WAKIJUMUIKA PAMOJA KUSHEHEREKEA MWAKA 2013. ALIYEKETI KATIKATI NI
BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZIMBABWE,MH. ADADI RAJABU, UPANDE WA KULIA KWAKE NI MWENYEKITI WA WATANZANIA
WANAOISHI HAPO ZIMBABWE BW. APATAE FATACKY WAKISHIRIKIANA NA WATANZANIA
WENGINE KUUKARIBISHA MWAKA MPYA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...