Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe George W.
Bush na Mkewe Laura na Mama Salma Kikwete wakati wa ufunguzi wa mkutano
wa wake wa marais wa Afrika Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya
Serena jijini Dar es salaam.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa wake wa marais wa Afrika
Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.
Wageni
wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa wake wa
marais wa Afrika Mashariki leo July 2, 2013 katika hoteli ya Serena
jijini Dar es salaam.
PICHA NA IKULU
leo ni july 3? naona kuna typing error
ReplyDeletejk must have cracked a joke
ReplyDeleteIt start to smell fish now. Bush went Tanzania when he was president, then Obama went to Tanzania, and now Bush and Blair's wife are back in Tanzania. Why Tanzania? Why not Burkina Faso, or Ethiopia or Malawi, etc etc?
ReplyDeleteThis isn't individual personal interest,this country interested.is not abt Obama or Bush/republicans or democrats
ReplyDeleteI love your answer!! It is not personal interest it is all in the name of DEMACRACY. we love visitors, we love people all in all we are a great country. Karibuni wageni woooote nchini kwetu Tanzania. KARIBUNI.
ReplyDeleteThat's all about it we are a peace country suppose to that's why wageni they see safety here atleast for now God forbid
ReplyDeletewanapenda nchi yetu kwasababu.SISI watanzania nchi yetu tuna Amani sana na tunawapenda wageni wanchi zooooooote Sisi watanzani Hatuna Ukabila wala Udini Tunawapenda Watu woote na tuna Amani yakutosha sio kama watani zetu wenye roho mbaya na ukabila uliokidhiri na ubinafsi na chuki wivu roho mbaya n.k n.k Tanzania hoyeeeeeeeeeeeeeeeee tutazidi kutembelewa na mataifa makubwa mpaka mjinyonge mpende msipende watakuja tu OBAMA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEE WELCOME BACK
ReplyDeleteHahahaha Mdau wa 7 Majirani wana chuki sana na sisi!
ReplyDeleteTazameni Gazeti lao la THE EAST AFRICAN wiki itakayokuja muone watakavyo andika.
Ktk dunia hii ya Mwenyezi usije kuomba kukutana na mtu mwenye sifa hizi halafumikatokea mambo anavyotaka iwe yasitokee:
1.Mtu anayekudharau,
2.Huyo huyo anayekudharau awe ana kuchukia,
3.Huyo anayekudharau na kukuchukua asiwe na kile ulicho jaaliwa nacho wewe mdharauliwa,
Dalili hizo mbili wanazo JIRANI WETU HAO WA KASKAZINI MASHARIKI wanaojiita wenye UCHUMI MKUBWA KTK AFRIKA YA MASHARIKI HUKU WAKIWA RASILIMALI HAWANA.
Kenya mtakufa nacho kijiba cha roho!
ReplyDelete