Bibi Suzana Mungy wa Shirika la Utangazaji Tanzania! (TBC) Anasikitika kutangaza kifo cha baba yake mzazi Mzee Julian Kibindo Lukindo, kilichotokea jana saa 10 jioni huko Michungwani, Muheza Tanga.

Habari ziwafikie wanakijiji wote wa Kwatango, Muheza Tanga, wanakijiji wote wa Makweli Muheza Tanga. Ukoo wote wa Kivumbi na Lukindo popote pale walipo. Familia ya Mungy na Moshiro popote pale walipo. Ndugu ,jamaa na marafiki wote wa Familia ya Mzee Lukindo na Kivumbi.

Mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho, Jumatano, Muheza, Tanga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...