Aina: Diahatsu Terios, 1998
DVD player na A/C
Nimeendesha gari hili kwa miaka mitatu jijini Dar peke yake
Bei: $4400
Ukitaka, pigie: 0767 866 891
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mdau wangu sijui kama utauza kwa bei hiyo, Halafu tanngazo lako lime miss details nyingi sana [hajujui lina KM ngapi, la mwaka gani, AT au Manual, n.k] Pia kwa bei hiyo naweza kuagiza kwa US$ 2400 CIF DAR, so katika bei yako nikiongeza US$ 500 tu napata gari toka Japan ambalo nimelipia cost zote na ambalo halijatembea miaka mitatu Dar... Ushauri wangu ni kwamba punguza hiyo bei mimi nadeal na magari, najua bei zake hauwezi kuuza kwa bei hiyo labda umpate mtu aliyetoka mkoa na hajui chochote kuusu bei za magari
ReplyDelete
ReplyDeleteTerios hiyo ndio NDOA YA KIKRISTO