Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 24, 2013

    Watu watafanya anything to remain in the limelight.
    I will send mine next week about matobolwa, ntwili and nsansa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 24, 2013

    Sawa Fredd ,tunakubali lakini bona mwili unahitaji mchanganyiko wa vyakula ,matunda na mboga mboga mbali mbali,kwa kuwa parachichi umesema ndio mflame wa vyakula kwa sisi watu wa pwani tulikua na vyakula vyetu kabla ya parachichi kuja,
    Labda kijijini kwenu Parachichi lilikua poneo la njaa,
    Kila chakula na tunda ni mflame na muhimu kwa mwanadamu.
    Mdau
    Kalagabao
    mbeba box U.K

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 24, 2013

    Hilo parachichi sasa ni bei mbaya huku TZ kwa kulitangaza tangaza. Wewe huko Ughaibuni uko kwenye benefit kila kitu unakula kwa kuchagua sisi huku kama hujafanya kazi huli!!

    ReplyDelete
  4. asante kaka,tuletee zingine

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...