Mwenyekiti Wa CCM Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua semina maalum ya wabunge wa CCM ilkiyofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo.Wengine katika picha kutoka kushoto ni Spika wa bunge Anna Makinda, Katibu wa Wabunge wa CCM Jenista Mhagama, Waziri mkuu Mizengo Pinda,Makamu wa CCM Bara Ndugu Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
Baadhi ya wabunge wa CCM waliohudhuria semina maalum iliyofanyika katika ukumbi wa White House mjini Dodoma leo.(picha na Freddy Maro)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...