Katibu Tawala wa Wilaya ya Misungwi Elius Nyakia akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa mnara mpya wa Vodacom katika kijiji cha Lukanga Wilaya ya Misungwi. Anaemsaidia kukata utepe huo ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa Herieth Koka. Wanaoshuhudia uzinduzi huo kutoka kushoto ni Meneja Uhusiano wa Mambo ya Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim, Mwenyekiti wa Kijiji cha Lukanga Bw Enos Malale na Meneja wa Vodacom Foundation Mwamvua Mlangwa. Kabla ya Vodacom kujenga mnara huo, kijiji hicho hakijawahi kuwa na huduma za uhakika za simu za mkononi.
Home
Unlabelled
Vodacom yazidi kuimarisha huduma zake vijijini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...