Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick M. Werema akitoa nasaha wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya majadiliano kwenye mikataba ya kimataifa. Kushoto ni Lawrence Masha na kulia ni Michael Kamba Mkurugenzi wa Mikataba.
Baadhi ya mawakili wa serikali waliohuduria mafunzo ya majadiliano ya mikataba ya kimataifa wakimsikiliza Mwansheria Mkuu wa Serikali(hayupo pichani) Jaji Frederick M. Werema. Mafunzo hayo yanaendelea Shule ya Sheria Tanzania.
Jaji Frederick M. Werema Mwanasheria Mkuu wa Serikali akijadili jambo na Lawrence K. Masha mmoja ya wabia wa kutoka DLA Piper waliowezeha mafunzo ya majadiliano ya mikataba ya kimataifa yanayoendelea katika Shule ya Sheria Tanzania.
Mwanasheri Mkuu wa Serikali Jaji Frederick M. Werema(wa katikati) akibadilishana mawazo na wawezeshaji wa mafuzno ya majadiliano ya kimataifa kutoka DLA Piper. Kulia mwenye miwani ni Jaji Dkt. Gerald Ndika Mkuu wa Shule ya Sheria.
Mwansheria Mkuu wa Serikali Jaji Frederick M. Werema(wa tatu kutoka kushoto waliokaa) kwenye picha ya pamoja na wawezeshaji wa mafunzo ya majidiliano ya mikataba ya kimataifa kutoka DLA Piper.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...