Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu wakati IGP alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.Katikati ni Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)
 Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (DIGP) Abdulrahman Kaniki (kulia) na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu akisalimiana na  Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi wakati IGP alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akizungumza  na Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Ernest Mangu  na Naibu IGP Abdulrahman Kaniki wakati Viongozi hao wa Jeshi la Polisi walipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.Katikati ni Naibu katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Bi. Mwamini Malemi .
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Mh. Mbarak Abdulwakil akisalimiana na Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini DIGP Abdulrahman Kaniki  wakati alipokwenda kujitambulisha ofisini kwake kwa lengo la kufahamiana na kupanga mikakati mbalimbali ya kuzuia na kupambana na uhalifu.DIGP.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nimependa fenicha za office ya Katibu mkuu huyu...wote tukiwa na moyo wa kuunga mkono 'made in Tanzania' upande wa fenicha hakika tutawasadida vijana wetu wasio na ajira.

    Kwanza mafenicha ya mchina ni maboksi yanaharibika kirahisi sana...

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...