![]() |
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Azania Bwana William Erio(wa pili kushoto) pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Azania Bwana Charles Singili(kushoto) wakikata utepe kuzindua rasmi Benki ya Azania Tawi la Lamadi . Kulia nia mkuu wa Mkoa wa Simiyu Pascal Mabiti. |
![]() |
Awali mara tu baada ya kuwasilia katika eneo la tukio Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, alisalimiana na wadau wa Benki ya Azania Tawi la Lamadi na mmoja baada ya mwingine huku akitambulishwa. |
![]() |
Rais Jakaya Mrisho kikwete akipata picha ya pamoja na Mawaziri wake, Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Viongozi wa Benki ya Azania Tawi la Lamadi mara baada ya shughuli ya uzinduzi kukamilika. |
![]() |
Picha ya Rais Jk na wafanyakazi wa Benki ya Azania Tawi la Lamadi. |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...