Sign in to confirm you’re not a bot
This helps protect our community. Learn more
#TBC: TAKUKURU YAMHOJI MTIA NIA KITI CHA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI
1Likes
577Views
Mar 142025
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Walaya ya Kigamboni imemuhoji mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Habibu Mchange kwa tuhuma za kutaka kutoa rushwa kwa baadhi wa viongozi wa Chama hicho Kata ya Tungi ili aweze kutia nia ya Kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke Joseph Makungu ameeleza kuwa Machi 13, 2025 Taasisi hiyo ilipokea taarifa fiche kutoka vyanzo mbalimbali kuwa mwanachama huyo amewaandaa baadhi ya viongozi wa Chama kata ya Tungi ili awapatie fedha kinyume cha sheria.

TBConline

456K subscribers