If playback doesn't begin shortly, try restarting your device.
•
You're signed out
Videos you watch may be added to the TV's watch history and influence TV recommendations. To avoid this, cancel and sign in to YouTube on your computer.
CancelConfirm
Share
An error occurred while retrieving sharing information. Please try again later.
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Walaya ya Kigamboni imemuhoji mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Habibu Mchange kwa tuhuma za kutaka kutoa rushwa kwa baadhi wa viongozi wa Chama hicho Kata ya Tungi ili aweze kutia nia ya Kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke Joseph Makungu ameeleza kuwa Machi 13, 2025 Taasisi hiyo ilipokea taarifa fiche kutoka vyanzo mbalimbali kuwa mwanachama huyo amewaandaa baadhi ya viongozi wa Chama kata ya Tungi ili awapatie fedha kinyume cha sheria.…...more
#TBC: TAKUKURU YAMHOJI MTIA NIA KITI CHA UBUNGE JIMBO LA KIGAMBONI
1Likes
577Views
Mar 142025
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Walaya ya Kigamboni imemuhoji mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi Habibu Mchange kwa tuhuma za kutaka kutoa rushwa kwa baadhi wa viongozi wa Chama hicho Kata ya Tungi ili aweze kutia nia ya Kugombea nafasi ya Ubunge Jimbo la Kigamboni
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke Joseph Makungu ameeleza kuwa Machi 13, 2025 Taasisi hiyo ilipokea taarifa fiche kutoka vyanzo mbalimbali kuwa mwanachama huyo amewaandaa baadhi ya viongozi wa Chama kata ya Tungi ili awapatie fedha kinyume cha sheria.…...more