Hapa ni maeneo ya Ubungo nyuma ya stendi ya mabasi yaendayo bara

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Vikwangua anga vitakuwa na maana zaidi pale ambapo miundombinu kama maji, umeme, barabara na udhibiti wa maji taka na takataka vitazingatiwa pia.

    ReplyDelete
  2. Du Ubungo imekua town pia si mchezo bongo oyeeee,Keshokutwa Tandika nayo itakua kama hivi

    ReplyDelete


  3. hakuna lolote mji ukisha kosa proper town planning kwisha kazi am sure Dar es salaam ingepata wafanya kazi wa Ministry of Land ya Singapore basi tungekua tunaongea mengine

    ReplyDelete
  4. watu wanataka vikwangua hapa???Baka alilotupa mkoloni bado lipo naisi.
    Watu wanahitaji kazi na sio vikwangua anga.

    ReplyDelete
  5. ndio maana Ntwara wanaandamana...

    ReplyDelete
  6. Vikwangua anga vilivyozungukwa Uchafu kila kona?.Kuna wakati serikali(Rais na makamu wake) ilipiga marufuku mifuko ya plastiki,lakini bado hii mifuko inachangia kwa asilimia kubwa kuchafua jiji la Daresalaam.

    David V

    ReplyDelete
  7. havina maana bila town planning (kufuata ramani ya mpangilio wa mji)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...