Pamoja na mambo aliyozungumzia waziri mkuu mstaafu aliwaasa Diaspora Marekani, kuungana mkono katika shughuli zao , kupendana na kutakiana mema. Amesema kama wananchi waishio Marekani wakipendana itakuwa rahisi zaidi kuleta maendeleo katika nchi ya Tanzania. Pia aliongelea maswala ya elimu, mchakato wa katiba unaoendelea na muelekeo wa kisiasa wa nchi nzima ya Tanzania.

Mahojiano yake yatafuata hapo baadae.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 16, 2013

    Kwani hivi, alistaafu lini? There is a big difference between resignation and retirement.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 16, 2013

    Rais wetu 2015. Tuko pamoja

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...