Mkurugenzi wa hali ya hewa nchini amesema mabadiliko ya hali ya nchi yamesababisha kuongezeka kwa  hali ya joto hasa maeno ya Pwani: https://youtu.be/RtilCoojWUY

Baadhi ya wakazi mpakani  Mutukula mkoani kagera wametoa pongezi hatua zinazochukuliwa na serikali katika kudhibiti madawa ya kulevya: https://youtu.be/qy3DIx2M5mU

Wananchi wanaotumia barabara ya Mwanza wapo hatarini katika maisha yao iwapo madereva wanaotumia barabara hiyo watakiuka sheria za barabarani: https://youtu.be/pVIESU9nVZ0

Serikali mkoani Tanga imewaonya wahamiaji wasiokuwa na sifa kutojipenyeza katika zoezi la uhakiki wa wahamiaji walowezi: https://youtu.be/CriIX6GwiRs

Rais Magufuli ameagiza kuendelea na shughuli za ujenzi wa jengo jipya la uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kambarage Nyerere jijini Dar Es Salaam: https://youtu.be/xpZ9UDtfJjo

Kamati za sherehe ya miaka 53 ya mapinduzi ya Zanzibar imesema imekuwa na mafanikio makubwa na kufikia lengo lililokusudiwa: https://youtu.be/gANaFvpSeTs

Balozi wa Irani nchini ameandaa tamasha la utamaduni wa shirazi lilitakalofanyika katika ukimbi wa Jumba La taifa jijini Dar Es Salaam: https://youtu.be/nYeLpfeoV1A

Timu ya bayern Munich ya Ujerumani imesema imeshangazwa sana na kiendo cha Lahm  kutangaza kustaafu masuala ya soka; https://youtu.be/nYeLpfeoV1A

Mhe. Angela Kairuki atoa ufafanuzi dhidi matukio ya ufisadi katika vyama vya ushirika wilayani Siha; https://youtu.be/tpf-20-SaYQ

Mbunge wa Tanga ahoji mpango wa serikali wa kununua meli za kisasa ili kurahisisha usafiri wa uhakika kati ya Pemba na Tanga; https://youtu.be/KC_KfOXr23w

Je ni lini serikali italeta msajili wa hati za wiwanja mkoani Tabora? Mbunge wa Tabora kaskazini Mhe. Almas Maige ahoji; https://youtu.be/eO_ELD6qz1s

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...