Wakazi wa kanda ya ziwa katika kumpokea mfalme Costa Siboka wameendelea kuonyesha ushirikiano mkubwa katika kubandika matangazo kwenye nyumba zao za kuishi magari, maduka, na stationary, nyumba za kulala wageni na katika mabar kumekua na matangazo mengi kwa sehemu wanazofanya shoo alhamisi tarehe 27/ 6/ 2013 atakuwa Ramadi V.I.P Club siku ya Ijumaa tarehe 28/6/2013 atakuwa Bunda mjini katika ukumbi wa Diamond Pub Jumamosi tarehe 29/6/2013 atakuwa nyumbani kwao katika kisiwa cha maraha UK na atafanya Bonge ya ufunguzi rasmi ndani ya ukumbi mpya wa Afro beach Club mbali na hivyo viatu vya mfalme vimekuwa kivutio kikubwa sana kwa mashabiki wake vilevile kila anakopita muda mwingi ameonekana akipenda watoto kwa kuwapa hi na kupiga nao misosi hii inaonesha ni jinsi gani mfalme anavyokubalika kanda ya ziwa na watu wa lika zote. ziara hiyo inadhaminiwa na KONYAGI, BALIMI EXTRA LAGER. CXC AFRIKA NA MICHUZI BLOG.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 26, 2013

    Gee that is a big family! It reminds me when I was young - watoto wa baba mkubwa, shngazi, mjomba etc etc. That was life, no individualism!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...