MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko y a Katiba, Bi. MwatumuMalale (kushoto) akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo.Wengine ni Wajumbe wa Tume, Bw. Awadh Said (katikati) na Bw. Richard Lyimo.
MJUMBE wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Bw. Joseph Butiku (katikati) akichangia hoja katika Kikao cha ndani cha Tume hiyo kilichofanyika katika Ofisi za Makao Makuu ya Tume Jijini Dar es Salaam leo. Wengine ni Wajumbe wa Tume, Alhaji Said El Maamry (kushoto) na Bw. Yahya Msulwa.
(PICHA NA TUME YA KATIBA)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...